Media

  • Latest News

    ALIE FALIKI DUNIA MIEZI MITANO ILIYOPITA AONEKANA TENA


    BREAKING NEWS

    Mtu alie faliki dunia miezi mitano iliyo pita aonekana tena wilayani misungwi kata ya bhulemeji mkoani mwanza kijana huyo alifaliki dunia mnamo tarehe 8/2/2017 na aliokotwa maeneo ya ziwani kijiji cha chole ambacho ni kijiji jirani na mahali alipo kuwa anaishi kijana huyo   kijana huyo ajulikanae kwa jina la Ntelani Hando

    Hii Ni Picha Kipindi Ajapoteza maisha na kuonekana tena
    NIMEKUEKEA PICHA MBILI HAPO CHIN 
     True Media Tv Imefka pka nyumbani kwao kwa kijana NITELANI HANDO
      Uyo katikati Ndio Kijana Nitelani ,uyo wa  kulia ndio mama yake mzazi
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Post a Comment

    Item Reviewed: ALIE FALIKI DUNIA MIEZI MITANO ILIYOPITA AONEKANA TENA Rating: 5 Reviewed By: TRUE MEDIA TV
    Scroll to Top